Please turn JavaScript on

WananchiForum: Free Talk

Get updates from WananchiForum: Free Talk via email, on your phone or read them on follow.it on your own custom news page.

You can filter the news from WananchiForum: Free Talk that get delivered to you using tags or topics or you can opt for all of them. Unsubscription is also very simple.

See the latest news from WananchiForum: Free Talk below.

Site title: WananchiForum: Free Talk

Is this your feed? Claim it!

Publisher:  Unclaimed!
Message frequency:  2.05 / day

Message History

Naomba msaada wa Maswali ya usaili Examination Officer II. kama unayo unayajua ambayo yalisha ulizwa kwenye interview mbalimbali naomba nijibu hapo chini.

Read full story
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anawajulisha waombaji kazi wa Kada ya Kitchen Attendant III ya Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kwamba, kutakuwa na usaili wa kuandika (Mchujo) kabla ya usaili wa vitendo. Usaili huo (Mchujo) utafanyika kwa njia ya Mtandao tarehe 31 Mei, 2026, tembelea akaunti yako ya Ajira Portal na tovuti ya ajira.go.tz kwa taarifa zaidi.

Read full story
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa anawatangazia waombaji wote wa ajira kutembelea akaunti zao za maombi ya ajira kupitia mfumo wa ajira wa TAKUKURU https://ajira.pccb.go.tz na kwa barua pepe zao ili kupokea taarifa na maelekezo ya tarehe na eneo la kufanyia usaili wa maan...

Read full story
Hatua kwa hatua Jinsi ya kuhakiki Cheti cha Kuzaliwa na Kifo RITA Uhakiki unafanyika kupitia mfumo wa eRITA pekee. Waliokuwa na VYETI VYA ZAMANI vilivyochapwa kwa typewriter watalazimika kwanza kupata vyeti vya kidijitali kwa kufuata hatua namba 1–6 hapo chini na baada ya hapo wachague OLD to NEW. Baada ya kukamilisha hatua hiyo na kupata cheti kipya, ataend...

Read full story
Haya hapa Majina ya Walioitwa kwenye Usaili TAKUKURU (PCCB) 2026 PDF login kwenye account yako ya ajira takukuru/pccb na uangalie umekuwa shortlisted au not shortlisted.

Ili kuangalia ingia kwenye mfumo wa ajira Takukuru au PCCB hapa.


Read full story