Please turn JavaScript on

WananchiForum: Free Talk

Get updates from WananchiForum: Free Talk via email, on your phone or read them on follow.it on your own custom news page.

You can filter the news from WananchiForum: Free Talk that get delivered to you using tags or topics or you can opt for all of them. Unsubscription is also very simple.

See the latest news from WananchiForum: Free Talk below.

Site title: WananchiForum: Free Talk

Is this your feed? Claim it!

Publisher:  Unclaimed!
Message frequency:  1.52 / day

Message History

Mtakumbuka kwamba kati ya Mwezi Februari na Juni, 2025 Mamlaka ya Mapato Tanzania iliendesha zoezi la usaili ili kujaza nafasi 1,596 zilizokuwa wazi. Baada ya mchakato ule, waomba kazi waliofikia na kufaulu vizuri zaidi katika hatua ya usaili wa mahojiano waliajiriwa kujaza nafasi hizo katika kada mbalimbali. Aidha, waomba kazi wengine walifikia na kufaulu usaili wa mahojiano la...

Read full story
Hili hapa tangazo la kuitwa kazini Taasisi mbalimbali za Umma 09-07-2026 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 28-07-2025 na tarehe 25-06-2026 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajum...

Read full story
Hili hapa tangazo la kuitwa kazini Chuo kikuu cha Mwalimu Nyerere cha Kilimo na Teknolojia 08-07-2026 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 26-03-2026 na tarehe 17-04-2026 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Oro...

Read full story
Hili hapa tangazo la kuitwa kazini Taasisi mbalimbali za Umma 08-07-2026 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 28-07-2025 na tarehe 23-06-2026 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajum...

Read full story
Hili hapa tangazo la kuitwa kwenye usaili Makamu Mkuu wa Chuo,Chuo Kikuu cha Mwalimu Nyerere cha Kilimo na Teknolojia (MNUAT) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 13/07/2026 hadi 16/07/2026 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo. Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzin...

Read full story