Kusoma kwa miaka mingi na kupata shahada ya chuo kikuu ni hatua inayokupa matumaini makubwa ya kupata ajira nzuri na kujenga maisha yako. Baada ya kumaliza masomo yangu miaka mitano iliyopita, nilianza harakati za kuomba kazi za serikali na kwenye taasisi kubwa.
Nilikuwa na sifa zote zilizohitajika, viwango vya juu vya taaluma, na uwezo mkubwa wa kujieleza. Hata hivyo,...