Please turn JavaScript on
UDAKU SPECIAL icon

UDAKU SPECIAL

Get updates from UDAKU SPECIAL via email, on your phone or read them on follow.it on your own custom news page.

You can filter the news from UDAKU SPECIAL that get delivered to you using tags or topics or you can opt for all of them. Unsubscription is also very simple.

See the latest news from UDAKU SPECIAL below.

Site title: UDAKU SPECIAL | Habari za Udaku, Michezo na Siasa

Is this your feed? Claim it!

Publisher:  Unclaimed!
Message frequency:  4.68 / day

Message History

Kusoma kwa miaka mingi na kupata shahada ya chuo kikuu ni hatua inayokupa matumaini makubwa ya kupata ajira nzuri na kujenga maisha yako. Baada ya kumaliza masomo yangu miaka mitano iliyopita, nilianza harakati za kuomba kazi za serikali na kwenye taasisi kubwa.

Nilikuwa na sifa zote zilizohitajika, viwango vya juu vya taaluma, na uwezo mkubwa wa kujieleza. Hata hivyo,...


Read full story
VITA Kubwa Simba, Mangungu Afunguka Maamuzi ya Kubatilishwa Mkutano Wake

Mwenyekiti wa Klabu ya Simba Murtaza Ally Mangungu, ameshangazwa na maamuzi ya kubatilishwa kwa mkutano alioufanya jana huku akiweka wazi kuwa kuna watu wananufaika Simba ikiyumba na huko nyuma kuna watu walishatengeneza nyaraka kuwa Sima imeuzwa.

“Aliyebatilisha Mkutano wa Jana amebatilisha kwa M...


Read full story
Mvutano Simba SC na Wydad AC Kuhusu Mchezaji Seleman Mwalimu

Makubaliano ya awali kati ya Simba SC na Wydad AC kuhusu Mwalimu kujiunga na Simba kwa mkopo wa mwaka mmoja yamefutwa.

Makubaliano hayo yalifikiwa wakati wa uongozi wa aliyekuwa Rais wa Wydad, Hicham Ait Menna, lakini yamevunjika baada ya Simba kutokamilisha malipo yaliyokubaliwa, licha ya klabu hiyo kumtanga...


Read full story
Yanga Yammwagia Minoti Ibrahim Bacca Baada ya Vita Baridi na Simba

Klabu ya Yanga SC imefanya maboresho makubwa kwenye mkataba mpya wa beki wake wa kati, Ibrahim Hamad ‘Bacca’, kufuatia hatua ya watani zao wa jadi, Simba SC, kutaka kumnyatia mara baada ya kubaini mkataba wake wa awali ulikuwa umemalizika.

Siri ya Vita ya Usajili
Taarifa kutoka nd...


Read full story
Hatimaye Peter Shalulile Kutoa Bongo Leo Kujiunga na Yanga

Hatimaye hii leo mshambuliaji mpya wa klabu ya Yanga raia wa Namibia Peter Shalulile atawasili nchini kwa ajili ya kujiunga rasmi na kikosi cha Yanga.

Mara baada ya kuwasili klabu itafanya tukio la kumtambulisha kama ilivyokuwa kwa wachezaji wengine wakigeni waliotambulishwa kwa tukio la utambulisho kuwa ‘Live’...


Read full story