Mimi ni Daniel Mwaiburi kutoka Dar es Salaam. Nafanya kazi mbali na nyumbani, na napata siku moja tu ya mapumziko kwa mwezi kuona familia yangu. Kwa muda sasa nilianza kugundua tabia zisizo za kawaida kutoka kwa mke wangu. Wajirani na baadhi ya watu wa jamii walianza pia kueneza maneno ya hongo. Nilianza kufikiri, “Labda mke wangu ananidanganya.”
Sikuweza kukaa tu bi...