Please turn JavaScript on
header-image

UDAKU SPECIAL

Get updates from UDAKU SPECIAL via email, on your phone or read them on follow.it on your own custom news page.

You can filter the news from UDAKU SPECIAL that get delivered to you using tags or topics or you can opt for all of them. Unsubscription is also very simple.

See the latest news from UDAKU SPECIAL below.

Site title: UDAKU SPECIAL | Habari za Udaku, Michezo na Siasa

Is this your feed? Claim it!

Publisher:  Unclaimed!
Message frequency:  7.4 / day

Message History

Mimi ni Daniel Mwaiburi kutoka Dar es Salaam. Nafanya kazi mbali na nyumbani, na napata siku moja tu ya mapumziko kwa mwezi kuona familia yangu. Kwa muda sasa nilianza kugundua tabia zisizo za kawaida kutoka kwa mke wangu. Wajirani na baadhi ya watu wa jamii walianza pia kueneza maneno ya hongo. Nilianza kufikiri, “Labda mke wangu ananidanganya.”

Sikuweza kukaa tu bi...


Read full story

Uongozi wa Azam FC umeweka wazi hauko tayari kumuachia kocha wake mkuu, Florent Ibenge, kuondoka klabuni hapo licha ya taarifa zinazodai anawindwa na Shirikisho la Soka la Angola (FAF).

Ofisa Mtendaji Mkuu Msaidizi wa Azam, Rashid Seif, amesema kocha huyo bado ana nafasi kubwa katika mipango ya klabu na wana imani naye kwa malengo ya muda mrefu. Alisisitiza kuwa taarif...


Read full story

Kiongozi wa Chama cha Upinzani nchini Uganda amesema kuwa mkewe na watoto wamelazimika kuikimbia nchi kutokana na ukatili wa vikosi vya usalama katika msako nyumbani kwake.

Robert Kyagulanyi, anayejulikana kama Bobi Wine, alitoa tangazo hilo Jumatano katika ujumbe wa video kwenye mkutano wa kimataifa wa haki za kibinadamu huko Geneva, Uswisi.

Bobi alikuwa mpinza...


Read full story

Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam.

Kardinali Pengo amefariki dunia jana alipokuwa akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI).

Katika salamu zake za pole, Rais Samia amesema amepokea kwa masikitiko makubwa taa...


Read full story

Umewahi kujiuliza ni kwa nini baadhi ya watu nchini Kenya wanaonekana kuvutia pesa bila shida huku wengine wakipambana bila kujali wanafanya kazi kwa bidii? Watu wawili wanaweza kuwa na elimu sawa, biashara zinazofanana, na azimio sawa – lakini mmoja hufanikiwa haraka huku mwingine akikabiliwa na vikwazo vya mara kwa mara. Tofauti hii mara nyingi huwaacha wengi wakiuliza: Ni ...


Read full story